Mafanikio ya Utekelezaji wa Programu ya Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT) 2022–2026
Taarifa kamili ya mafanikio ya Programu ya BBT tangu kuzinduliwa mwaka 2022 hadi Agosti 2026.
Programu ya Jenga Kesho Iliyo Bora (Building a Better Tomorrow – BBT) ilizinduliwa tarehe 20 Machi, 2023 na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika shamba kubwa la pamoja (Block Farm) la Chinangali, Dodoma. Programu inalenga kuzalisha ajira zenye staha, kuongeza uzalishaji na tija, kuimarisha usalama wa chakula, na kuongeza mchango wa sekta ya kilimo kwenye Pato la Taifa.
“Kilimo ni Biashara”
Maeneo matano yanayoongoza utekelezaji wa BBT.
Bofya Soma kufungua moja kwa moja kwenye simu, au Pakua kuhifadhi.
Taarifa kamili ya mafanikio ya Programu ya BBT tangu kuzinduliwa mwaka 2022 hadi Agosti 2026.
Utangulizi wa programu, malengo ya kimkakati na maeneo makuu ya utekelezaji.
Maeneo matano ya utekelezaji: mashamba makubwa ya pamoja, huduma za ugani, visima, uongezaji thamani na utoaji wa mikopo.
Nguzo tano za Programu ya BBT.
Bango la matukio (backdrop) lenye nembo ya BBT.
Machapisho haya ni mali ya Wizara ya Kilimo, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Yanaruhusiwa kutumika kwa madhumuni ya elimu na uhamasishaji wa Programu ya BBT.